1899
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| ►
◄◄ |
◄ |
1895 |
1896 |
1897 |
1898 |
1899
| 1900
| 1901
| 1902
| 1903
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1899 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 12 Januari - Paul Hermann Müller (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1948)
- 30 Januari - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)
- 13 Machi - John Van Vleck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977)
- 10 Aprili - Vladimir Nabokov, mwandishi wa Urusi na wa Marekani
- 29 Aprili - Duke Ellington, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 3 Juni - Georg von Bekesy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1961
- 11 Juni - Yasunari Kawabata (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1968)
- 12 Juni - Fritz Lipmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 11 Julai – Elwyn Brooks White (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1978)
- 21 Julai - Ernest Hemingway (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1954)
- 22 Julai - Sobhuza II, mfalme wa Uswazi
- 13 Agosti - Alfred Hitchcock, mwongozaji wa filamu kutoka Uingereza
- 24 Agosti - Jorge Luis Borges, mwandishi kutoka Argentina
- 28 Agosti - Chang Myon, mwanasiasa kutoka Korea Kusini
- 3 Septemba - Frank Burnet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 19 Oktoba - Miguel Asturias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967)
- 13 Novemba - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 25 Desemba - Humphrey Bogart, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 21 Novemba - Garret Hobart, Kaimu Rais wa Marekani
- 10 Desemba - Ngwane V, mfalme wa Uswazi
